Wednesday, January 12, 2011

Huamini nini !!!...yule demu huyu hapa....!!!!?

'''mh hichi kisiki kama unafunga nacho pingu za maisha ...jiandae kutapika nyongo kila siku....

''walimtokea wote walikuwa na bullet.....
'''yaani nikipata kamume mbuzi mbona katajuta ...ntakaminya kama nnavyominya chawa..
Anaesema mwanamke hana misuli haya hiyo hapo yote ...
kama akiamua kukuchota mtama ujue anakugawa vipande viwili....

Blog Archive