Tuesday, March 30, 2010

One[TuT] Making a simple Flash document

Making a simple Flash document
To illustrate the basic steps of creating any Flash document, this section guides you through the process in a simple tutorial. This short tutorial is just a sample of the Flash workflow.
The first step is to create a new document in Flash.

To create a new Flash document:

  1. Select File > New.

  2. In the New Document dialog box, Flash Document is selected by default. Click OK.
    In the Property inspector, the Size button displays the current Stage size setting as 550 x 400 pixels.

  3. The Background color swatch is set to white. You can change the color of the Stage by clicking the swatch and selecting a different color.

    The Property inspector, showing the Stage size and background color

Saturday, March 27, 2010

Step up to the beat pixillation

Step up to the beat pixillation


done with my friends from animation college

Friday, March 26, 2010

Introduction (flash)

Introduction

Introduction

Welcome to Macromedia Flash Basic 8 and Macromedia Flash Professional 8. Flash provides everything you need to create and deliver rich web content and powerful applications. Whether you're designing motion graphics or building data-driven applications, Flash has the tools to produce great results and deliver the best user experience across multiple platforms and devices.
This guide is designed to introduce you to Flash. The tutorial in this guide leads you through the process of creating a simple Flash application.

Wednesday, March 24, 2010

Considering Renting A Villa For Your Next Vacation.

Give the experts a call..... we know the pitfalls.

For example descriptions can be misleading

Kitchenette:

The emphasis is on the "ette." Expect something like a single burner and bar fridge, rather than the fully stocked.

Junior Suite:

A junior suite incorporates the sitting room into the bedroom, unlike a true suite, which has a seperate sitting room.

Sleeps 8:

Couches don't count. Ask for the total number of bedrooms.

Steps From The Beach:

Confirm that it is not a thousand steps.

Pool Access:

Access usually means you'll be sharing it-and it may even be at another location. A private pool is what you want.


Why do it on your own. Give us a call and we will do it all!!!

Unique Travel Concepts
619/464-6426 800/879-8635

Tuesday, March 23, 2010

Rekindle your romance..........

Entirely indulgent in a beautifully tranquil setting that redefines all you've ever known about an all-inclusive resort.
Reignite the passion and connection that first made you fall in love.

At Unique Travel Concepts, "if you can dream it, we can plan it."
Call us today to help plan your next romantic getaway.
619/464-6426 800/879-8635

Making The Most of Your Layover

These days to get the best price on airfare, it may require to have double connects and, or a long layover. Here are a few tips to help with your extra time at the airport.

Work Out:
If you are not shy, pack a yoga mat and work on your positions. After a flight, a few minutes of deep breathing and stretching is a good way to get your blood flowing again.

Sleep:
For painless napping. many airports have designated sleeping sections or special sleep chairs.

Play a Game:
Pack one or two board games in your carry-on and with your travel partner or friendly stranger, have some fun . Good packable games are Bananagrams or Travel Scrabble.

Play an Instrument:
Entertain yourself and others by packing your instrument and playing some tunes.

People Watch:
What better place to people watch than at the airport. You are in a public place so there is nothing wrong with taking a second look at a tear-drop tattoo on someones face or eavesdropping on a loud conversation.

Toy Story 3




can`t wait to see this movie more about the movie soon

http://www.youtube.com/watch?v=v_FfHA5whXc

Monday, March 22, 2010

sorry for no post

sorry for no post today :( ....ill be posting soon ...as i had exams on ......next in line is flash :)

Saturday, March 20, 2010

My drawing




i did this drawing, Its one of my uncle`s .

Wednesday, March 17, 2010

How is pixilation done

Here ill show you how pixilation is done. This one was captured on a river bank. This are the pictures i click.














HOW TO DO IT




HERE IS THE FINAL RESULT

Pixilation

Pixilation is a stop motion technique where live actors are used as a frame-by-frame subject. One or more frame is taken and changing pose slightly before the next frame or frames

Tuesday, March 16, 2010

Google Maps Adds Biking Directions

Google maps has added bicycling directions for 150 cities nationwide.
Visit maps.google.com/biking

Kung Fu Panda


just click on the image for big size and better quality
Kung Fu Panda a 2008 animated film.
Directed by John Stevenson and Mark Osborne and produced by Melissa Cobb. The film was produced by DreamWorks Animation studio in California.

The film stars the voice of Jack Black as the panda AKA PO , and other voices of Ductin Hoffman, Angelina Jolie, Jackie Chan and many more.

Set in ancient China, the plot revolves around a fat panda who aspires to be a Kung Fu Master. After a much feared ex-disciple is prophesied to escape from prison, Po is foretold to be a Dragon Warrior By the head of the temple which is much to his shock and surprise.

It is said that, the computer animation in the film was more complex than anything DreamWork had done before.


Cast


  • Jack Black as Po, a Giant Panda
  • Jackie Chan as Master Monkey, a Golden Langur
  • Dustin Hoffman as Master Shifu, a Red Panda
  • Ian McShane as Tai Lung, Snow Leopard
  • David Cross as Master Crane, a Red-crowned Crane
  • Angelina Jolie as Master Tigress, a South China Tiger
  • Lucy Liu as Master Viper, a Green Tree Viper
  • Michael Clarke Duncan as Commander Vachir, a Javan Rhinoceros
  • Seth Rogen as Master Mantis, a Chinese Mantis
  • Randall Duk Kim as Master Oogway, a Galápagos Tortoise
  • James Hong as Mr. Ping, a goose
  • Dan Fogler as Zeng, a goose
Production

The work on Kung Fu Panda began before October 2004. DreamWorks Animation announced the Film with Jack Black on September 2005 , the main character voice

Release

Kung Fu Panda was premiered in the United Stated on June 1 2008 at Grauman`s Chinese theater in Hollywood

Awards

Kung Fu Panda was nominated fir the Academy Award for Best Animated Feature, but dint win. It won 11 awards at the Annie Awards which includes The Best Picture

Monday, March 15, 2010

Disney to Close Zemeckis Digital Studio

With Robert Zemeckis' biggest Disney ally gone, former Chairman Dick Cook, and amid drastic cost-cutting by the new management team -- and being overshadowed by AVATAR -- Walt Disney Studios is closing the producer-director's ImageMovers Digital studio in San Rafael, by Jan. 2011.

ImageMovers Digital, which opened in 2007, employs around 450 in two converted aircraft hangers on 120,000 square feet on the former Air Force base.

Zemeckis' initial performance capture/3-D feature for Disney, A CHRISTMAS CAROL, underperformed last holiday season, and ImageMovers will phase out operations after completing MARS NEEDS MOMS, directed by Simon Wells, which is planned for a March 2011 release.

By Bill Desowitz

Alpha and Omega

Alpha and Omega is a computer animated film produced by Crest Animation Productions and Richard Rich, director of The Fox and the Hound, and will be released by Lionsgate on October 1, 2010. The film is directed by Anthony Bell and Ben Gluck, starring the voices of Justin Long, Hayden Panettiere, Christina Ricci and Dennis Hopper.

The movie focuses on two wolves; one male, Humphrey (Justin Long), and one female, Kate (Hayden Panettiere). The two are young when they are taken away by park rangers. Despite their differences, they begin to form a bond.

Plot

Kate and Humphrey are two wolves who are nothing alike. Kate's an alpha wolf - to her, discipline, duty and responsibility are everything. On the other hand, Humphrey is an omega wolf -- fun, friends and frivolity are what are important to him. In the world of wolves, alphas and omegas don't mix, mingle or mate - such is pack law.

As the alpha wolf daughter of the western pack leader, Kate is arranged to marry Garth, the alpha wolf son of the eastern pack leader, not for love but to prevent a deadly war between the two packs. But the marriage is put on hold when, unbeknownst to anyone, Kate and Humphrey are taken by park rangers from their home in Jasper Park, Canada and relocated to Sawtooth Park, Idaho.

Desperate to get back in time to marry Garth and prevent war, and battling each other's different points of view, the long distance and a few bears and porcupines along the way, Kate and Humphrey must work together to make the long journey home to their beloved Jasper Park. But Kate and Humphrey soon discover a new obstacle: somewhere along the way, Kate and Humphrey have fallen in love.

UP (2009 animation)


just click on the image for big size and better quality
Up is a 2009 computer animated adventure film for all ages. The film is produced by Pixar Animation Studios. This animated film was awarded with two Academy Awards for Best Animated Feature file and Best Original Score in 2010 .

Up was directed by Pete Docter`s and features the voices of Edward, Christopher Plummer, Bob Peterson and many more.

About the animated film
The film centres around an elderly widower named Carl Fredricksen and a young, overage r, wilderness explorer named Russell, who fly to South America in a floating house suspended from helium balloons. I wont tell you more about the movie GO SEE IT FOR UR SELF :)


Production

The main character Carl Fredricksen is partially based on Spencer Tracy.
The fantasy of a flying house was born out from director Pete Docter's thoughts about escaping from life when it becomes too irritating, which he explained stemmed from his difficulty with social situations growing up. Writing began in 2004. Actor and writer Thomas McCarthy aided Docter and Bob Peterson in shaping the story for about three months. Docter selected an old man for the main character after drawing a picture of a grumpy old man with smiling balloons.


The filmmakers' first story outline had Carl just wanting to join his wife up in the sky," Docter said. "It was almost a kind of strange suicide mission or something. And obviously that's a problem. Once he gets airborne, then what? So we had to have some goal for him to achieve that he had not yet gotten."Russell was added to the story at a later date than Dug and Kevin; his presence, as well as the construction workers, helped to make the story feel less episodic.

The character Charles Muntz, who resembles Kirk Douglas, comes actually from Howard Hughes and Errol Flynn. An inspiration for the name of this character was cartoon producer Charles B. Mintz, who stole Walt Disney's hit character Oswald the Lucky Rabbit, forcing Disney to create replacement character Mickey Mouse. Mintz, like Muntz, did get his comeuppance in real life.

Docter wanted to push a stylized feel, particularly the way Carl's head is proportioned: he has a squarish appearance to symbolize his containment within his house, while Russell is rounded like a balloon.The challenge on Up was making these stylized characters feel natural,Toy Story, who suffered from the " although Docter remarked the effect came across better than animating the realistic humans from uncanny valley". Cartoonists Al Hirschfeld, Hank Ketcham and George Booth influenced the human designs. Simulating realistic cloth on caricatured humans was harder than creating the 10,000 balloons flying the house. New programs were made to simulate the cloth and for Kevin's iridescent feathers. To animate old people, Pixar animators would study their own parents or grandparents and also watched footage of the Senior Olympics.

A technical director worked out that in order to make Carl's house fly, he would require 23 million balloons, but Docter realized that number made the balloons look like small dots. Instead, the balloons created were made to be twice Carl's size.[39] There are 10,927 balloons for shots of the house just flying, 20,622 balloons for the lift-off sequence, and it varies in other scenes

Music

  • When Carl meets Muntz, a romantic version of "Muntz's Theme" expresses Carl's joy in finally meeting his hero.
  • When Muntz lifts his lamp and shows "the wall", "Muntz's Theme" plays in a minor key with a lot of dissonance to express his twisted nature.
  • At the end of the film, during the climactic battle between Carl and Muntz, the orchestra plays "Ellie's Theme vs. Muntz's Theme."

Awards & nominations

Up won the Best Original Score, won the Best Animated Feature Film at the 67th Golden Globe Awards. It was also nominated for 9 Annie Awards in 8 categories, winning two awards for Best Animated Feature and for Directing in a Feature Production. Up also received the Golden Tomato from Rotten Tomatoes for highest rating feature in 2009, and best reviewed animated film. Also, won "Choice Summer Movie Comedy" at the 2009 Teen Choice Awards. In addition it won two Critic's Choice Awards for Best Animated Film and Best Original Score. It was also nominated for three Grammys at 52nd Grammy Awards, winning two.

Together with Avatar, the two are the first 3D films ever nominated for Best Picture. It is the second fully animated film to have ever been nominated for Best Picture, the other being Beauty and the Beast and is also the first animated movie to be nominated in the category since the creation of the Best Animated Feature award.

What i felt about the movie

i really liked the movie, the music was awesome with the movie. I loved the character Russell

What is animation?

Animation is rapid display of sequence of images. The word animation has many meanings .To me animation is like being GOD, the computer is my earth and i can do anything build,create, brake, kill, bring life back, make own characters and soooo ON .In animation we got movies,short films, ads, games and a lot more.

Tuesday, March 9, 2010

2010 Brings New Attractions, Los Cabos, Mexico










Three major resort properties recently opened in Los Cabos - Barcelo Los Cabos Palace Deluxe, Capella Pedregal and Zoetry Casa del Mar. The Barcelo an all-inclusive, all-suite beachfront resort has the only swim-up suites found in Los Cabos.








Infinity pool @ Capella Pedregal



Capella Pedregal guestrooms come with its own private terraces and plunge pool. Amenities include a fireplace, a semi-open rainforest shower area, an old fashioned clawfoot style bathtub, with smaller details to include a pair of binoculars.












Top: Zoetry Casa del Mar offers an intimate, hacienda-style experience. Below: An Ocean Front Master Suite at Zoetry Casa del Mar.








Zoetry Casa del Mar emphasises wellness, with guests finding a fresh bottle of Champagne in their room everyday. Upscale touches include Bulgari bath amenities, a pillow menu and nightly turndown service. Guests receive 24-hour laundry service and a 20 minute massage per guest. Also, guests can opt for 24-hour in suite private dining.




Dunes Golf course @ Diamante Cabo San Lucas



Natural sand dunes, with 18-holes Diamante Cabo San Lucas is already inspiring comparison to Pebble Beach.




If this resort sounds like your kind of place, whether it be a romantic get-away or a family celebration, why not give us a call. "If you can dream it, we can plan it"


619/464-6426

800/879-8635














FUN FACTS

A Boeing 747 airliner holds 57,285 gallons of fuel!

FUN FACTS

Men leave their hotel rooms cleaner than women do.

Tuesday, March 2, 2010

FUN FACT

The average number of people airborne over the US any given hour; 61,000.

Important Tips for Traveling Abroad

If you are traveling abroad here are the top 10 tips you need to make your trip easier.

1. Make sure you have a signed, valid passport and visas, if required. Also, fill in the emergency information page of your passport, before you go.

2. Read the Consular Information Sheets and Public Announcements or Travel Warnings, if applicable, for the countries you plan on visiting.

3. When you are traveling, familiarize yourself with local laws and customs of the countries. Remember, the U.S. Constitution does not follow you! You are subject to its laws, while in a foreign country.

4. It's a good practice to make 2 copies of your passport identification page. This way it will help ease replacement if your passport is lost or stolen.

5. Always leave a copy of your itinerary at home with family or friends, in case of an emergency, you can be contacted.

6. Never leave your luggage unattended and never accept packages from strangers.

7. You should register with the nearest U.S. Embassy through the State Departments travel registration website, prior to your departure. Registration will make your presence and whereabouts known in case of an emergency. According to the Privacy Act, information on your welfare and whereabouts may not be released without your authorization.

8. To avoid being a target of crime, try not to wear conspicuous clothing and expensive jewelry. Do not carry excessive amounts of money or unnecessary credit cards

9. In order to avoid violating local laws, deal only with authorized agents when you exchange money or purchase art or antiques.

10. If you get into trouble, contact the nearest U.S. Embassy.

FUN FACT

Only 64% of Americans used all of their vacation time in 2007.

Monday, March 1, 2010

HOTUBA YA JK YA MWISHO WA MWEZI WA FEBRUARI 2010


HOTUBA YA MHE. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, KWA WANANCHI YA MWISHO WA MWEZI FEBRUARI, 2010

Ndugu Wananchi, Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu aliyetuwezesha kukutana kwa mara nyingine tena na kuzungumza kwa mujibu wa utaratibu wetu mzuri wa kuzungumza kila mwisho wa mwezi.

Mwisho wa mwezi uliopita hatukuweza kuzungumza kwa sababu nilikuwa Addis Ababa, Ethiopia kwenye mkutano wa kila mwaka wa Wakuu wa Nchi wanachama wa Umoja wa Afrika. Hata hivyo niliitumia fursa ya hotuba yangu katika Sherehe za Miaka 33 ya CCM tarehe 6 Februari, 2010 kuzungumzia baadhi ya masuala muhimu kitaifa.

Siku ya leo nataka kuzungumzia jambo moja tu, nalo ni Muswada wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi uliopitishwa na Bunge letu tukufu katika kikao chake kilichopita. Hivi karibuni nitatia saini muswada huo kuwa Sheria.

Kwa sasa matayarisho ya shughuli hiyo yanaendelea. Ndugu Wananchi; Chimbuko la kutungwa sheria hii ni mwenendo usiyoridhisha wa matumizi ya fedha katika chaguzi zetu nchini. Kuna matumizi mabaya ya fedha katika uchaguzi ndani ya vyama vya siasa na baina ya vyama vya siasa katika chaguzi za kiserikali.

Katika hotuba yangu ya kuzindua Bunge tarehe 30 Desemba, 2005, nilizungumzia kutokuridhishwa kwangu na hali hii na nilielezea nia yangu ya dhati ya kutaka kuchukua hatua thabiti za kuweka utaratibu utakaoongoza na kudhibiti matumizi ya fedha katika uchaguzi. Naomba ninukuu maneno niliyosema siku ile: “Jambo lingine linalonisumbua linahusu upatikanaji na matumizi ya fedha na michango mingine kwenye Uchaguzi.

Yameanza kujitokeza mawazo, pamoja na kuanza kujengeka utamaduni kuwa uongozi unaweza kununuliwa kwa fedha. [............] tusipokuwa waangalifu nchi yetu inaweza kuwekwa rehani kwa watu wenye fedha za kununua uongozi au wanaoweza kupata fedha za kufanya hivyo.

Ni kweli kwamba fedha ni nyenzo mojawapo muhimu katika kufanikisha uchaguzi, kwa kila chama na kwa kila mgombea. Lakini, fedha kutumika kununua ushindi si halali. Kwa maoni yangu hatuna budi kupiga vita utamaduni huu kwa nguvu zetu zote. Ni vema sasa tuanzishe mjadala wa kitaifa na hatimaye kuelewana kuhusu utaratibu halali, ulio wazi, wa chama au mgombea kutafuta fedha za uchaguzi; na utaratibu halali ulio wazi, wa chama au mgombea kutumia fedha hizo. Na utaratibu tutakaokubaliana uwe ni sehemu ya maadili ya uchaguzi katika uchaguzi wa kiSerikali na ndani ya vyama vya Siasa.” Mwisho wa kunukuu.

Ndugu wananchi, Jambo hili tumekuwa tunalifanyia kazi Serikalini tangu tuingie madarakani. Kwa vile ni jambo jipya na kwa nia ya kuepuka kuanza vibaya, tumefanya utafiti wa kutosha na kujifunza kutoka mifano ya nchi ambazo zina utaratibu wa aina hii. Kadhalika, hapa nchini, tuliwahusisha wadau mbalimbali wakiwemo viongozi wa vyama vya siasa, viongozi wa dini, asasi zisizo za kiserikali, Tume ya Uchaguzi, Msajili wa Vyama vya Siasa na watu wengine wengi.

Ndugu Wananchi; Matokeo ya kazi hiyo nzuri ni kutengenezwa kwa Muswada wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi ambao uliwasilishwa katika kikao kilichopita cha Bunge kwa uamuzi. Kabla ya kupelekwa Bungeni, rasimu ya Muswada huu ilijadiliwa kwa kina Serikalini.

Pale Dodoma Bungeni, muswada huu ulijadiliwa kwa siku kadhaa katika Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala na kwenye vikao vya Kamati za Vyama vya Siasa. Katika jamii nako, Muswada huu uliibua mijadala iliyokuwa na hisia za namna mbalimbali na wakati mwingine mijadala hiyo ilikuwa mikali. Kwa ujumla, mijadala yote hiyo ilisaidia kuboresha maudhui ya Muswada na hatimaye kupata ule uliopitishwa na Bunge letu Tukufu tarehe 11 Februari, 2010.

Ndugu Wananchi; Tumetunga Sheria hii mpya kwa nia ya kupata majawabu kwa tatizo la matumizi mabaya ya fedha katika shughuli za uchaguzi. Tunatambua kuwa matatizo haya si mageni, yamekuwepo tangu miaka mingi huko nyuma na hata historia ya Bunge letu ina ushahidi wa ushindi wa baadhi ya Wabunge kutenguliwa kwa makosa ya rushwa. Lakini, siku hizi matatizo ya matumizi mabaya ya fedha yamekuwa makubwa zaidi na yanakua kwa kasi inayotishia kugeuzwa kuwa ndiyo utaratibu wa kawaida au utamaduni katika chaguzi zetu. Ni hali ambayo haifai kuachwa kuendelea na kuzoeleka. Hatuna budi kuchukua hatua za dhati kurekebisha mambo na kulirejesha taifa katika mstari ulionyooka.

Ndugu Wananchi; Tuliamua kuwa, hatua muafaka ya kuchukua ni hii ya kutunga sheria ya kuongoza na kudhibiti matumizi ya fedha katika uchaguzi. Sheria hii ikitekelezwa ipasavyo itazuia kugeuza uongozi kuwa ni kitu cha kununuliwa kama bidhaa na wenye pesa au wanaoweza kupata pesa za kufanya hivyo. Aidha, itakomesha kabisa tabia mbaya inayoanza kujitokeza ya wapiga kura kugeuza kura yao kama bidhaa ya kuchuuza kwa wagombea.

Misingi ya Sheria
Ndugu Wananchi, Katika kufikiria na kutayarisha rasimu ya muswada wa sheria hii, mambo saba ya msingi yalizingatiwa. Mambo hayo ni haya yafuatayo: Kuutambua kisheria mchakato wa uteuzi wa wagombea ndani ya vyama vya siasa na kuusimamia kisheria. Kuweka utaratibu wa kisheria utakaosimamia na kuratibu mapato na kudhibiti matumizi pamoja na gharama za uchaguzi kwa vyama vya siasa na wagombea. Kuweka viwango kwa matumizi na gharama za uchaguzi.

Kuweka utaratibu utakaosimamia mapato na matumizi ya vyama vya siasa ikiwa ni pamoja na zawadi, misaada na michango itakayotolewa na wagombea au wahisani wakati wa kampeni za uchaguzi. Kudhibiti michango na zawadi kutoka nje ya nchi.

Kuweka utaratibu na mfumo wa udhibiti na uwajibikaji kwa mapato na matumizi ya fedha za uchaguzi kwa upande wa vyama vya siasa na wagombea. Kuainisha adhabu kwa watakaokiuka masharti yatakayowekwa na Sheria hii. Uteuzi Ndani ya Vyama Umetambuliwa

Ndugu Wananchi, Katika Sheria ya Gharama za Uchaguzi, mambo yote hayo ya msingi yamezingatiwa. Ni Sheria inayojitosheleza kwa kila hali pamoja na ukweli kwamba ni mara ya kwanza tunakuwa na sheria ya namna hii. Sheria yetu mpya imezitambua rasmi gharama zinazotumika na vyama vya siasa na wagombea kuanzia wakati wa mchakato wa uteuzi ndani ya vyama mpaka wakati wa uchaguzi wenyewe.

Sheria hii sasa inafafanua gharama za uchaguzi kuwa ni zile zinazotumika na Vyama, Wagombea au Serikali wakati wa uteuzi ndani ya vyama, wakati wa uteuzi kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi, wakati wa kampeni na hadi siku ya kupiga kura.

Ndugu Wananchi; Kabla ya Sheria hii kutungwa, matumizi mabaya ya fedha wakati wa uteuzi wa wagombea katika vyama vya siasa yalionekana kuwa ni matatizo ya ndani ya vyama husika, hivyo yaliachiwa vyama vyenyewe kushughulika nayo wajuavyo. Kwa mujibu wa Sheria yetu mpya mchakato wa uteuzi wa wagombea ndani ya vyama umetambuliwa rasmi kuwa ni sehemu kamili ya uchaguzi, hivyo matumizi ya fedha ya vyama na wagombea yametengezewa utaratibu wa udhibiti.

Kwa hiyo, kuanzia sasa kuhonga au kuhongwa katika mchakato wa uteuzi ndani ya vyama kutamulikwa kwa karibu na wahusika wataadhibiwa na vyombo vya dola.

Uwazi wa Mapato na Matumizi

Ndugu Wananchi; Jambo lingine muhimu katika Sheria hii ni kwamba, inaweka sharti la uwazi katika mapato na matumizi ya vyama na wagombea kwa ajili ya uchaguzi kabla, wakati na baada ya uchaguzi. Sheria pia inaelekeza utaratibu wa kufuatwa na vyama na wagombea katika kutoa taarifa zao za mapato na matumizi ya uchaguzi.

Kila mgombea, kwa mfano, atatakiwa kutoa kabla ya uchaguzi, taarifa ya fedha alizonazo na makisio ya fedha anazotarajia kupata kwa ajili ya kampeni na uchaguzi, ndani ya siku saba (7) baada ya uteuzi wa wagombea kufanywa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Baada ya uchaguzi atatakiwa kutoa taarifa ya mapato na matumizi halisi siku tisini (90) baada ya matokeo kutangazwa. Ndugu Wananchi; Vyama vya siasa, navyo hali kadhalika, vitatakiwa kutoa taarifa ya mapato yao pamoja na makisio ya mapato wanayotegemea kuyapata kwa ajili ya gharama za uchaguzi kabla ya uteuzi wa wagombea.

Baada ya uchaguzi, vyama hivyo vinatakiwa vitoe taarifa ya mapato na matumizi yake halisi ndani ya siku tisini (90) baada ya matokeo rasmi ya uchaguzi kutangazwa.

Taarifa hizo za vyama na wagombea zinatakiwa zionyeshe wazi vyanzo vyote vya mapato ikiwemo michango ya fedha na mali (vifaa, zana, magari n.k.), pamoja na mchanganuo wa matumizi yake. Uwazi wa Michango Ndugu Wananchi, Kwa upande wa michango ya hiyari na zawadi zinazotolewa kwa Chama na wagombea, Sheria inataka pawepo na uwazi katika utoaji wake.

Sheria inaelekeza kwamba, kila chama cha siasa kilichopokea mchango unaozidi shilingi milioni moja kutoka kwa kila mchangiaji binafsi au shilingi milioni mbili kutoka kwa taasisi, kitoe taarifa kwa Msajili.

Aidha, Sheria inataka fedha hizo zihifadhiwe katika akaunti maalum itakayofunguliwa kwa ajili hiyo. Fedha hizo zitalipwa na kutumika kutoka katika akaunti hiyo. Naomba ieleweke kuwa, si nia ya Sheria hii kuzuia wananchi kuchangia shughuli za siasa au za kampeni za Chama wakipendacho au mgombea wanayempenda. Sheria inaruhusu michango ya aina yoyote kutolewa kwa chama chochote au kwa mgombea yeyote ila inataka michango hiyo itolewe kwa utaratibu ulio wazi. Kusiwe na usiri au kificho cha namna yoyote.

Ndugu Wananchi; Sheria pia inafafanua utaratibu wa vyama au wagombea kupata misaada kutoka nje ya nchi. Sheria inazuia michango na misaada hii isitolewe wakati wa kampeni. Inaruhusu vyama vya siasa au wagombea kupokea misaada kutoka nje ya nchi siku 90 kabla ya Uchaguzi Mkuu au siku 30 kabla ya uchaguzi mdogo.


Pia, inataka kuwepo uwazi na taarifa itolewe kwa Msajili wa Vyama vya Siasa. Najua suala la masharti yaliyowekwa kwa watu wa nje kuchangia vyama vya siasa na wagombea nchini lilizua mjadala miongoni mwa wadau mbalimbali. Kumekuwepo na malalamiko kutoka kwa baadhi ya vyama vya siasa kupinga masharti yaliyowekwa. Naomba ieleweke kuwa, kwa kweli, si jambo jema kwa Chama cha siasa au mgombea nchini kufadhiliwa na watu wa nje. Wahenga wanasema “anayemlipa mpiga zumari huchagua wimbo”.


Ipo hatari kwa kiongozi au chama kupokea amri kutoka nchi za nje kwa kuwasikiliza wale watu wa nje waliowasaidia badala ya kujali maslahi ya nchi yetu na watu wake.

Uwajibikaji Kuhusu Michango
Ndugu Wananchi, Sheria pia inaweka sharti la uwajibikaji wa vyama vya siasa, wagombea na washiriki wengine kuhusu michango, mapato na matumizi katika uchaguzi. Sheria inaelekeza kwamba:- Kila mchango unaopokelewa na matumizi yatakayofanyika kwa ajili ya uchaguzi vifanywe na Chama na siyo vinginevyo. Chama cha siasa kitawajibika kwa matumizi yote yatakayofanywa na chama au wagombea wake, na kwamba matumizi yote yanatakiwa kuwa na risiti. Kila mgombea atawekewa mgawo wake wa matumizi ya kampeni na chama kitatoa taarifa ya fedha iliyokaguliwa kwa matumizi hayo.

Chama kitakachoshindwa kutunza taarifa hizo kitakuwa kimetenda kosa na kitastahili adhabu. Kila mgombea atakayepokea mchango atapaswa kutoa taarifa kwa chama chake kuhusu mapato na matumizi yanayohusu mchango huo. Kila chama cha siasa, taasisi ya kiraia, taasisi ya kidini au taasisi ya kijamii itakayohusika katika kuchangia shughuli za uchaguzi, inayo wajibu wa kutunza taarifa za fedha zinazoelezea mapato na matumizi yao.

Mambo haya ni muhimu sana kwani bila ya kuwepo utaratibu wa uwajibikaji kwa upande wa wahusika, Sheria yote itakuwa haina maana. Matatizo tunayojaribu kuyapatia ufumbuzi yatakuwa hayakushughulikiwa ipasavyo. Mambo Yaliyokatazwa Ndugu Wananchi; Sheria imeainisha vizuri mambo yanavyokatazwa kwa upande wa matumizi ya fedha za uchaguzi.

Sheria inakataza, kwa mfano, vitendo vifuatavyo visifanyike pamoja na matumizi ya fedha kwa ajili hiyo kuzuiliwa:

*Kufanya malipo kwa wapiga kura ili wamchague mgombea fulani; Kuahidi kazi au cheo au wadhifa kwa mpiga kura ili amchague mgombea;

*Kutoa zawadi, ahadi, mkopo, au makubaliano yoyote kwa mpiga kura ili amchague mgombea; Kukubali kurubuniwa kwa mambo yoyote yaliyotajwa hapo juu ili ampigie kura mgombea yeyote;

*Kufanya vitendo vyovyote kati ya hivyo wakati wowote kabla au hata baada ya uteuzi wa mgombea;

*Kutoa malipo kwa ajili ya takrima ya chakula, vinywaji au starehe yoyote kwa ajili ya kuwashawishi wapiga kura wamchague mgombea;

*Kuwasafirisha wapiga kura ili wamchague mgombea.

Hata hivyo Sheria inaruhusu wapiga kura wenyewe kujilipia nauli kwenda kupiga kura au Serikali kuwasafirisha wapiga kura pale ambapo kuna shida ya usafiri;
Kuweka mkataba wowote ule wa pango kwa niaba ya wapiga kura ili wamchague mgombea; Chama au mgombea au mtu yeyote atakayetenda vitendo hivi nilivyovitaja atakuwa ametenda kosa kwa mujibu wa Sheria hii na ataadhibiwa ipasavyo. Viwango vya Gharama za Uchaguzi

Ndugu Wananchi, Sheria ya Gharama za Uchaguzi inaweka utaratibu wa kudhibiti gharama za uchaguzi kwa kumpa mamlaka Waziri mwenye dhamana ya uchaguzi kuweka viwango vya gharama za uchaguzi.

Waziri huyo atatangaza kiwango cha juu ambacho kila mgombea ataweza kutumia katika kampeni na katika uchaguzi. Kiwango hicho cha gharama kitazingatia tofauti ya majimbo, idadi ya watu, aina ya wagombea pamoja na miundombinu.


Chama au mgombea atakayevuka viwango vya mtumizi alivyowekewa bila maelezo ya kuridhisha, atakuwa ametenda kosa na anastahili kuwajibishwa ipasavyo.


Utaratibu huu ni muhimu katika kujenga nidhamu na usawa miongoni mwa vyama na wagombea katika uchaguzi. Hivi sasa kwa sababu ya kutokuwepo ukomo, wako watu wenye pesa ambao wanafanya matumizi kupita kiasi. Wapo wanaopitiliza au hata kukufuru na kuwadhalilisha wenzi wao wasiokuwa na uwezo kama wao.


Ndugu Wananchi, Mimi naamini, hatua zilizomo katika Sheria ya Gharama za Uchaguzi zikitekelezwa, zitasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza au hata kudhibiti kabisa vitendo na hisia za rushwa katika uchaguzi.


Mara nyingi vitendo hivyo vinapofanyika, au hata kule kuwepo hisia tu kwamba vinaweza kuwa vimefanyika, huwa ni chanzo cha manung’uniko na kukosekana utulivu. Wakati mwingine huathiri taswira ya demokrasia yetu na heshima ya uongozi uliochaguliwa hasa pale uhalali wa matokeo ya uchaguzi unapotiliwa shaka.


Tunachukua hatua hizi ili kulinda hadhi ya chaguzi zetu nchini na kuzifanya kweli ziwe huru na za haki na kufanya mfumo wa demokrasia uzidi kustawi. Hatima ya yote haya tufanyayo ni kusaidia nchi yetu kuwa na viongozi wanaotokana na ridhaa ya wananchi.

Ndugu zangu; Demokrasia ya vyama vingi katika nchi yetu bado ni changa. Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa wa nne tangu turudi kwenye mfumo wa vyama vingi mwaka 1992. Ni muhimu sana, mapema kabisa, kuchukua hatua thabiti za kuilinda demokrasia yetu hii na kuhakikisha inakua na kujengeka katika misingi iliyo sahihi. Sheria hii mpya, tukiisimamia vizuri na kuitekeleza itafanikisha azma yetu hiyo.

Tutakuwa tumepiga hatua kubwa katika maendeleo na ustawi wa demokrasia nchini. Mafanikio ya dhamira yetu njema yanategemea sana utashi na ushirikiano wa viongozi na wanachama wa vyama vya siasa pamoja na wananchi katika utekelezaji. Ni matumaini yangu kwamba viongozi wenzangu wa siasa tutaipokea kwa moyo mkunjufu na kuiunga mkono Sheria hii mpya.

Ni matumaini yangu pia kwamba, sisi viongozi tutawahamasisha wanachama wetu, wapenzi wa vyama vyetu na wananchi wenzetu kwa jumla kuzingatia na kutekeleza Sheria hii. Ndugu Zangu,

Wananchi Wenzangu, Nimetumia muda wenu mwingi kuwadokeza baadhi ya mambo ya msingi yaliyomo katika Sheria ya Gharama za Uchaguzi. Nia yangu ni kufanya mambo matatu muhimu.

Kwanza, kuwathibitishia Watanzania wenzangu kwamba tunalitambua tatizo la rushwa katika uchaguzi na tunayo dhamira ya dhati ya kupambana nalo. Kukemea peke yake hakutoshi, lazima tutumie nguvu ya sheria kudhibiti vitendo vya rushwa na kuwaadhibu ipasavyo wahusika.



Pili, kuwathibitishia kuwa sisi wenzenu tuliopo katika Serikali tunatambua wajibu wetu wa kuhakikisha kuwa Sheria hii inatekelezwa kwa ukamilifu. Nimekwishaviagiza vyombo vya dola, ikiwemo TAKUKURU, kujipanga vizuri kuisimamia Sheria hii na kuwabana ipasavyo wale wote watakaojihusisha na vitendo vya rushwa kuanzia katika uchaguzi wa mwaka huu. Nawaomba wananchi mtoe ushirikiano kwa vyombo vyote vinavyohusika na usimamizi wa Sheria hii ili vitimize kwa ukamilifu malengo yake ambayo yana maslahi kwa nchi yetu na kwetu sote.



Tatu, napenda kuwaambia kwamba, sisi katika Serikali tunatambua wajibu wa kuhakikisha kuwa wananchi, wanachama na viongozi wa vyama vya siasa wanaelimishwa vya kutosha ili waielewe vizuri Sheria hii. Umuhimu wa kuielewa vizuri Sheria hii hauhitaji kusisitizwa kwani watu wakiielewa vizuri inarahisisha utekelezaji wake.


Na, kwa vyama vya siasa na wagombea, uelewa mzuri utasaidia kuepuka makosa ambayo yanaweza kuwa na gharama kubwa ya wao kupoteza ushindi. Natambua kwamba Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa na Ofisi ya Waziri Mkuu wanajiandaa vizuri kwa ajili ya kutoa elimu kwa umma kuhusu maudhui ya Sheria hii muhimu.



Nawaomba ndugu wananchi tusikilize kwa makini ufafanuzi watakaoutoa kwa manufaa yetu na ya nchi yetu.


Ndugu Wananchi; Naomba nimalize hotuba yangu kwa kuwashukuru kwa mara nyingine tena kwa kuendelea kuiunga mkono Serikali yetu. Naomba tuendelee kushirikiana katika utekelezaji wa Sheria hii muhimu kwa ajili ya kukuza na kuendeleza demokrasia katika nchi yetu.


Nataka kuona katika chaguzi zetu nchini tunajenga utamaduni wa kushindanisha sera za vyama na uwezo wa wagombea kuliko kushindanisha uwezo wa kukusanya fedha za kampeni.

Asanteni kwa kunisikiliza!
Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania