Thursday, December 30, 2010

The New Year

All of us at Unique Travel Concepts wish you and yours a very prosperous new year!

4679 Date Avenue La Mesa, CA 91941

619-464-6426 or 800-879-8635

www.uniquetravelconcepts.com

 

kumbe ganda la katiba ya tz liko hivi...!!!..unajua ukurasa wa kwanza kabla haijafanyiwa mabadiliko???


Ni matumaini yangu watanzania wenzangu mu-wazima wa afya. Leo najitokeza tena, najitokeza nikiwa na maneno machache ya kuwaambia wananchi wenzangu.

Kwanza kabisa nitakuwa mchache wa shukurani kama nitaacha kuwashukuru wale wote wanaovutiwa na kufurahia makala zangu mbalimbali. Mungu awabariki na kuwapa afya njema.

Ni wiki kadhaa sasa tangu vuguvugu la wanasiasa hasa wa vyama vya upinzani kuzidisha mbiu ya madai ya katiba mpya.

Lakini kwa maoni yangu hapa naona kuna walakini kidogo, tunafahamu kuwa katiba ni haki ya watanzania wote.

Lakini mamilioni ya watanzania hawajawahi kuona hata paragrafu moja ya katiba hiyo achilia mbali ukurasa mzima.

Nadhani ingelikuwa ni bora zaidi kuanza kudai machapisho ya katiba yenyewe ili kila mwananchi apate fursa ya kuisoma na kubani mapungufu yake ili kila mtu apate
nafasi ya kutoa maoni yake

Leo hii katiba imefanywa kuwa siri kubwa, siri ambayo hata wenye katiba wenyewe wananchi hawatakiwi kuiona.

Kufichwa kwa katiba hiyo ni kielelezo cha mapungufu yake.

Iwekwe wazi, wananchi waisome ili watoe michango yao na hatimaye mchakato wa mabadiliko uanze rasmi.

Ama yote mawili yafanyike kwa pamoja, kudai katiba iwekwe wazi na kudai mabadiliko yake kwa pamoja. Vinginevyo tutakuwa tunadai mabadiliko ya kitu tusichokijua.


Show it ...at new year 2011!!!!!!

Affordable Japan Vacations

Day 1-Welcome to Tokyo!
Check in to the city-center hotel of your choice.
Day 2- A morning tour...
Sightseeing begins atop Tokyo Tower for great views and continues to the Imperial Palace Plaza and Akinhabara Electric Tower. Stroll through the colorful Nakamise Arcade to visit Asakusa Kannon Temple, the oldest in the city. Your tour ends downtown at Tokyo Station where dining and shopping options abound. (B)
Day 3-Tokyo as you please
A free day to enjoy at your own pace. From April to November a tour is available to visit the magnificent Toshogu Shrine, set against the splendor of Nikko National Park. (B)
Day 4-Ride the Bullet Train to Kyoto
Travel abroad the famous Shinkansen to Kyoto and transfer to your choice hotel. (B)
Day 5-Out and about in Kyoto
Your morning tour includes the most important sites: Kinkaku-ji Temple (the Golden Pavilion), Nijo Castle with it ingenious "Nightingale Floor" and the Kyoto Imperial Palace. (B)
Day 6- Day at leisure
A free day to spend as you wish, You might join an available tour to ancient Nara. (B)
Day 7-Depart Kyoto
Our tour ends this morning. (B)

Engagin Discoveries
Encounter the ancient face of Tokyo in the thriving 21st century city at Askusa Kannon Temple, the city's oldest.
Step aboard the world-famous Bullet Train for a swift and safe journey to Kyoto.
Walk in stealth across the famous Nightingale Floor, cleverly built to chirp a warning if would-be assassins gained entry to Nijo Castle!
Simple Hotel Stays
Tokyo-Grand Palace
Superior first class hotel with an enviable location close to the Imperial Palace.
Kyoto-New Miyako
Travelers love this first class hotel close to Kyoto Station and many historic sites.

Luxury Hotel Stays
Tokyo-Keio Plaza
Stylish deluxe hotel with well-appointed guestrooms in the vibrant Shinjuku district.
Kyoto-ANA Kyoto
Contemporary styling and traditional warmth in the heart of the city near Nijo Castle
7 days from $2,199 (based on two travelers)
*all prices are subject to change without notice. Rooms are subject to availability.
For more information or to book please contact Unique Travel Concepts.
619-464-6426 or 800-879-8635

HapPy B.dAy ....Bakari Changale

Mr Bakari Changale
Leo ni siku ya kuzaliwa BAKARI CHANGALE 30.12....Blog hii na kwa niaba ya ma class mate wake wote waliosoma nae Mkwakwani sec sch Tunamtakia furaha yeye na familia yake yte,Mmungu ampe afya njema ktk maisha yke na mafanikio ktk siku zake nyingine za usoni.


We wish u happy b.day BECKA

Wednesday, December 29, 2010

Catalina Island

"Twenty-six miles across the sea
Santa Catalina is a-waitin' for me
Santa Catalina, the island of romance, romance, romance, romance...."

Santa Catalina Island

Catalina Island, also known as the island of romance, is the perfect destination for families as well as couples. 

Map of Catalina Island
As you can see, adventure is just around the corner. Hiking, diving, museums, casinos, golfing, parasailing and even shopping.
For more information please contact us at:
619-464-6426 or 800-879-8635
or fill out our request form. (click the link below)

Italy and Vatican City

13 Days to "Simply" discover Italy
Only $123.00/day

Your Itinerary
Days 1-2:Depart USA/Arrive Rome
Check-in to your hotel & this evening met your Tour Manager & get to know your fellow Contiki traveler.
Day 3:Rome to Sorrento
Travel south past Naples, the home of pizza, to the beautiful resort town of Sorrento. Tonight, enjoy a drink overlooking the stunning Bay of Naples.(B)
Day 4:Capri Excursion
Chill out on the Isle of Capri. Be amazed at the natural beauty, stroll through the hillside town of Anacapri or sip on a cafe al fresco with the locals, (B,D)
Day 5:Sorrento to Florence
From postcard perfect Sorrento, pass through rural Umbria & Tuscany's rolling hills & terraced vineyards to Renaissance Florence. (B,D)
Day 6:Florence
A local guide gives you the inside track on striking buildings & sacred art in one of Italy's most atmospheric cities. Later on, enjoy exploring at your own pace. (B)
Day 7:Florence to La Spezia
Stop & check out Pisa's famous architectural wonder & then watch locals fishing along the shores. Indulge in tasty local food & wine & pick up some rare souvenirs in the seaside setting of the Cinque Terre. (B)
Day 8:La Spezia to Milan
Leave the beauty of the Cinque Terre region behind & head to the capitol of fashion, Milan! (B,D)
Day 9:Milan to Venice
Follow the route of the Romans to the lakeside resort of Simione. Later, profess your love in Romeo & Juliet's home of Verona before arriving in fairytale Venice. (B)
Day 10:Venice
Meander through the 'floating city's' tight alleyways & canals to find grand squares, art-filled palazzos, interesting little shops, bars & markets. An option gondola ride is a must! (B)
Day 11:Venice to Rome
Leave enchanting Venice & criss-cross the Apennine Mountains on the road to Rome. (B,D)
Day 12:Rome
Tap into 'La Dolce Vita' of the "Eternal City" & explore this living museum of history. Get a feeling for Imperial Rome's glory on an optional tour of the Roman Forum & Colosseum.(B)
Day 13:Depart Rome
The tour ends after breakfast & it's time to say "arrivederci" to your new friends. (B)

Call for current prices and availability.
619-464-6426 or 800-879-8635

rango behind the scenes

Rango behind the scenes

rango behind the scenes, rango,johnny depp, rango movie

Rango is an upcoming computer-animated comedy film, directed by Gore Verbinski. It features the voices of actors Johnny Depp, Isla Fisher, Bill Nighy, and Abigail Breslin.

It is currently in production by special effects company Industrial Light & Magic, marking the first time the company undertakes making a full length animated feature in 35 years

rango behind the scenes

Baada ya yote vijisenti abusu mahakama kwa laki 7

Mbunge wa Bariadi Mashariki na aliyewahi kuwa Waziri wa Sheria, Mhe. Andrew Chenge, leo asubuhi ametiwa hatiani na Hakimu wa Mahakama ya Kinondoni kwa makosa manne ya barabarabi, yakiwemo ya mauaji ya wasichana wawili aliowagonga kwa gari alilokuwa akiendesha na kuwaua, Machi 27, 2009, jijini Dar es salaam. Chenge ametiwa hatiani kwa makosa manne ya Kusababisha vifo vya wasichana wawili, Kugonga Bajaji, Kuendesha gari kwa uzembe na kuendesha gari isiyokuwa na Bima. Makosa yote hayo amepigwa faini ya shilingi za Kitanzania laki saba! (700,000/=) na amelipa.


gari la Chenge lilohusika katika ajali hiyo


Bajaji iliyogongwa na kuua abiria wawili waliokuwemo, ambapo dereva alipona na hakupatikana hadi leo.





Tuesday, December 28, 2010

African Safari Trips

Interested in Africa? Why not request a quote or some information on possible trips you can take to Africa.
Click the link below:

Tron: Legacy

Tron: Legacy, tron movie poster, tron wallpaper



Tron: Legacy is a 2010 American science fiction filmWalt Disney Pictures, released on December 16, 2010. It is a sequel to the 1982 film Tron. Joseph Kosinski makes his feature film directorial debut with Tron: Legacy, while the previous film's director, Steven Lisberger, returns as a producer. Jeff BridgesBruce Boxleitner reprises his roles as Alan Bradley and Tron. Garrett Hedlund portrays Flynn's adult son, Sam.The other cast members include Olivia Wilde, Beau Garrett Michael Sheen. produced by reprises his roles as Kevin Flynn and Clu, while and 

 

 

 

Tron legacy trailer

Sunday, December 26, 2010

Rango: more about the movie rango

Here is some more information about the coming movie RANGO with johnny Depp in the main lead voice for this animated movie, which coming out in april 2011
Rango, rango movie poster ,johnny depp

Animation is being handled by CGI veterans Industrial Light & Magic (ILM), and post production at Verbinski's production company, Blind Wink. This is a first for ILM, because they are usually dedicated to doing CGI visual effects for major film productions. This will be the first time in 35 years they will be doing a fully animated film themselves. During voice recording, the actors were given costumes and sets to "help give them the feel of the Wild West". Verbinski called it "emotion capture" with only the audio from these sequences being lifted directly for the final film. Due to Johnny Depp's busy schedule, he only had a "20-day window" in which he could shoot his role as Rango, but the filmmakers lucked out in getting all the other actors they wanted for the supporting roles who were available to film their scenes with Depp, where they unusually, but intentionally recorded all their voices simultaneously. Verbinski said his attempt with Rango was to do a "small" film after the epic Pirates trilogy – even toying with shooting a live-action film while simultaneously helming Rango—but he soon realized just how painstaking and time-consuming animated filmmaking is

Thursday, December 23, 2010

May this season bring u success ,gud tym & happiness...Marry xmass & happy new year.





Soma chachandu ,vikuku na vichele vya Xmass na New year


Ni kweli kabisa kwamba, kwa wapenzi walioshibana kila siku ni sikukuu kwao. Hata hivyo, sina budi kuwakumbushia baadhi ya mambo ambayo ni vyema wakafanyiana katika siku hizi za sikukuu nikiamini kwamba, wakiyafanya watakuwa katika nafasi nzuri ya kulifanya penzi lao lionekane jipya. Tokeni muende kokote Yawezekana katika kipindi chote cha uhusiano wenu hamjawahi hata siku moja kutoka pamoja kwenda kwenye ukumbi wa starehe ama sehemu yoyote tulivu. Kimsingi kutoka na mwenza wako kuna faida kubwa sana, hivyo basi si vibaya katika sikukuu hizi zinazokuja mkajiandaa kwa kutenga fedha ambazo zitawafanya siku hiyo muende sehemu ambayo hamjawahi kwenda pamoja. Kama wewe na mwenza wako mlikuwa na utaratibu wa kwenda ‘out’ kila wikiendi, safari hii mnaweza kupanga kwenda sehemu tofauti, ikiwezekana hata kutoka nje ya mji mnaoishi. Kuna mengi ya kufanya mnapotoka ‘out’, mojawapo ni kubadilishana mawazo juu ya maisha yenu, kuombana msamaha pale ambapo mlitokea kutofautiana. Yaani ni kipindi cha kulikarabati penzi lenu na hata pale mtakapokuwa mnarudi itakuwa ni kama vile mmefungua ukurasa mpya. Kununuliana zawadi Siku zote zawadi ni chachandu katika penzi. Kumbuka kwamba katika suala la uhusiano, zawadi ni zawadi bila kujali ukubwa wake. Hii itategemea tu na uwezo wako. Kwa maana hiyo basi ni vizuri ukamwandalia zawadi nzuri mwenza wako ambayo itamfanya afunge na kufungua mwaka mpya kwa matumaini kwamba kweli unampenda. Kadi za Sikukuu Hili kwa wengine ni kama kuwakumbushia. Unapaswa kumwandalia mpenzi wako kadi ya kumtakia Krismasi njema na mwaka mpya wenye furaha. Kumbuka kadi utakayomnunulia mwenza wako inatakiwa kuwa tofauti na ile utakayompelekea rafiki yako wa kawaida au mzazi wako. Ni muhimu sana kulizingatia hili. Angalia rangi za kadi, ujumbe na ukubwa wa kadi. Hakikisha kadi utakayompelekea laazizi wako inamvutia na kumfanya atamani kuisoma kila mara kutokana na jinsi ilivyo. Mfanyie ‘surprise’ Rafiki yangu mmoja amenieleza kwamba, katika Sikukuu ya Mwaka mpya anatarajia kumshangaza mpenzi wake ‘surprise’ kwa kumtamkia kwamba, wakati umefika wa wao kufunga ndoa. Wewe umejiandaa kumfanyia ‘surprise’ gani mpenzi wako? Ni siku za furaha Ninachotaka kusisitiza hapa ni kwamba, hakuna kitu kibaya kama wapenzi katika siku hizi kununiana ama kuudhiana. Hizi ni siku za furaha hivyo basi, hakikisha unafanya kila uwezalo kumfanya mwenza wako awe na uso wa tabasamu muda wote. Hivi itakuwaje pale mtakapokuwa mnaposherehekea Sikukuu ya Mwaka mpya kisha mpenzi wako akababatiza ujumbe wa mapenzi katika simu yako kutoka kwa mtu mwingine? Ikitokea hivyo itakuwa ni nuksi kwa mwaka mzima. Ndio maana nasema jitahidi sana katika sikukuu hizo kuyaondoa yale makovu yaliyokuwa katika penzi lenu ili muingie katika mwaka mpya penzi lenu likiwa na uhai mpya. Hakikisha tu unajiandaa vizuri na ndiyo maana nimeamua kuandika makala haya mapema kabisa. Labda kwa kumalizia niseme tu kwamba, kila atakachokufanyia mwenza wako, kiwe kidogo ama kikubwa ni vyema ukakithamini. Ni hayo tu, nawatakia Krismasi njema na mwaka mpya wenye mafanikio.

Wednesday, December 22, 2010

Rango another trailer

Rango a upcoming 3d film with johnny depp as the main voice of rango 



rango/johnny depp




Here is another trailer of rango a animated film

Christmas Traditions (Germany)

The Legend
"A very old Christmas Eve tradition in Germany was to hide a pickle ornament deep in the branches of the family Christmas Tree. The parents hung the pickle last after all the other ornaments were in place. In the morning they knew the most observant child would receive an extra gift from St. Nicholas. The first adult who finds the pickle traditionally gets good luck for the whole year."
How to:
1. Decorate you Christmas Tree with various ornaments and tinsel.
2.Wait till Christmas Eve to place the pickle in the tree. Try to pick a spot that is difficult to see at first glance.
3.Tell you family and friends that the first person to spot the pickle in the Christmas Tree will receive and extra surprise.
4.Continue this tradition year after year.
Experience it
If you would like to take your family to experience this tradition in its birthplace then call us today or visit our website.
619-464-6426 or 800-879-8635
http://www.uniquetravelconcepts.com/

Unajua kwenye ma***nzi kuna asali, limao na shubiri?


Umeoa au umeolewa? Unataka kuolewa au kuoa? Ndiyo maswali ambayo leo ninakuuliza wewe unayeperuzi ukurasa huu. Lengo langu ni kuongea na wale wote walioamua kufunga ndoa na wale wengine ambao wako mbioni kufanya hivyo. Namaanisha waliofunga ndoa na wanaotaka kufunga ndoa, tukianza na wale ambao hawajafunga ndoa nawakata wajue kwamba ndoa si kitu cha kukifanyia majaribio kwa kukichezea kama vile ambavyo wanandoa wengi wa siku hizi wanavyofanya. Nafahamu kwamba kuna vijana na wasichana wengi ambao wanatamani kuingia kwenye ndoa huku wakiwa na imani kwamba wakifunga ndoa wataishi maisha ya raha mustarehe kama wanavyowaona wengine wanavyoishi, wenyewe wana msemo wao unaosema ‘wakubwa wanafaidi’. Kwako wewe binafsi kabla ya kuingia kwenye ndoa, unatakiwa kuwa makini na mtu ambaye unamchagua kutaka kuwa ubavu wako wa pili, unamfahamu vipi uelewa wake katika na suala zima la mapenzi. Unafahamu kwamba anayekuoa anaweza kuachana na wewe pamoja na kwamba hivi sasa mnapendana kiasi cha kufikia kuwaona watu wengine hawapendani zaidi yenu? Je, wewe na yeye mnajua kama mapenzi yamegawanyika katika ‘stage’ mbili zisizo rasmi za furaha na maumivu? Ambazo matawi yake ni asali, limao na shubiri? Ndiyo penzi linapoanza linakuwa tamu kama asali, katikati ya mapenzi chachu kama limao na mwisho na mwisho wa mapenzi huwa ni uchungu kama shubiri, je mnayajua haya? Kama mnayajua mnakabiliana nayo vipi, siku zote mimi huwa naamini kwamba penzi ni la Mwenyezi Mungu na kinyume cha penzi ni uadui ambao huletwa na shetani. Je, mnaweza kukabialiana na nguvu za shetani huyo ili ndoa mnayoota kufunga isivunjike? Kuna watu wanaichukulia ndoa kama kitu cha masihara na wala si kitu cha maana ambacho kinaweza kuwafanya kuweza kuendesha maisha yao kwa kufuata kanuni na misingi ya ndoa kama sheria zinavyosema. Nimeamua kusema hivi kwakuwa wanandoa wengi wa siku hizi hawazijui thamani ya ndoa zao walizoziingia, wengi wanachukulia kwamba unaweza kuoa au kuolewa leo na kesho ukaachana bila ya kuona haya wala kuhisi shaka. Kuna hili ambalo linahitaji uangalizi wa kina kabla ya kuingia kwenye ndoa, kwani wapo wanandoa wanaotafuta tiketi ya ndoa kwasababu zao maalumu, kama vile kufuata maslahi fulani au kuondoa mikosi kwa kuwa tu kuna mtu amejiotokeza kwa ajili ya kufunga nao ndoa. Kama hujaingia kwenye ndoa ni heri ukajiuliza mara mbili kwanini uingie kwenye ndoa? Kwanini umuoe au uolewe na huyo unayetaka ufunge naye ndoa? Hapa tunarudi kule kwenye makala yetu ya Jumatano ileee ambayo ilikuwa ikisema kwamba unamependa, anakupenda, mnapendana? Nafahamu kwamba ni vigumu kuingia kwenye ndoa kama mnaotaka kufanya hivyo hamna mapenzi ya kweli, humpendi, hakupendi na wala hampendani. Nilisema kwamba kupenda kunahitaji kujitoa kwako kwa asilimia mia kwa mia kwa mwenzako lakini kujua kama unapendwa kunahitaji ufahamu wa hali ya juu uliojaa ukamilifu wa kuweza kujiridhsisha na kukufanya uthubutu kujiingiza kwenye penzi zito. Pamoja na kwamba hakuna watu wanaopendana moja kwa moja bila ya kukwaruzana lakini mnapofikia katika hatua hiyo huwa mnakuwaje, mnayamalizaje? Hilo ndilo la msingi kabla ya kuvuka hatua kadhaa na kufikia hitimisho la kufunga ndoa. Wanawake wengi wamekuwa wakichezewa na wanaume kwa kuolewa usiku na kuachwa asubuhi na wanaume wengine wamejiamini kwamba wameoa kumbe wanajikuta wao ndiyo wameolewa na wale wanaodai kuwa wamewaoa! Unaweza kushangazwa na hili, lakini ndivyo hali halisi ilivyo katika jamii yetu kwa sasa, mwanaume unaweza kusema kwamba umeoa kumbe umeolewa, mwanamke anakuja kwako kwa lengo la kusaka mali na kisha anakuacha hoi bin taabani kwa kukufilisi kila kitu! Wangapi wamedaiwa talaka na wake zao mbele ya kadamnasi ya watu huku mke akitoa sababu zisizo na msingi na fikra zake zikiwa ni jinsi ya kugawana mali waliyoichuma, umemuoa mwanamke ambaye wala hukumjua vyema familia yake na yeye mwenyewe, mnaburuzana na kufikishana kwa Padri au Sheikh na kutaka kufunga ndoa. Huu ni uhayawani!!! Pamoja na kwamba waswahili wanasema, ukimchunguza kuku humli, lakini kabla ya kumuoa mwanamke kama huyu ulifanya utafiti wa kutosha kwamba anakupenda kweli na ulizijua tabia zake tangu awali? Mwanamke ‘kikwekwelekwe’ anaweza kukusoma udhaifu wako na kisha akakuingiza ‘kingi’ kwa kujifanya anakupenda sana kumbe anapanga kukufilisi kila kitu na kukuacha kapuku kama ‘zizi’ la kufugia kuku, upo? Siyo wanawake tu hata wanaume ‘migumegume’ iliyoshindwa na mitume nao wapo, anakuingia kwa mahaba mazito kumbe kuna kitu kwako amelenga, kwa kuwa wanawake wengi wanapenda kuolewa, basi wakijua kuwa una mali ya kutosha mwanaume anajitosa, siku mbili tatu anakutangazia ndoa. Kwa kuwa wengi wetu tunaendekeza mfumo dume, unakubali kufunga ndoa na mwanaume huyo ‘suruali’ kisha unamuandikisha mali zako, kwa kuamini kwamba mwanaume ndiye uti wa mgongo wa nyumba, basi baada ya muda yuleeee, anakutimua na anatanua na wanawake wengine kwa kutumia mali zako! Hao ndiyo wanaume na wanawake, lazima muwe makini nao katika kuingia katika ndoa zao, kwani ndoa si madoa yatakayoishia kwenye nguo, bali hufika mbali na kuangamiza raho, utakuja kuoneshwa mapenzi mazito kisha ukaachwa huna mbele wala nyuma. Naamini utakuwa na maswali kedekede, utamjuaje mlaghai, utajihami vipi? N.k ni maswali ambayo kwa hakika ni muhimu sana kwako kujiuliza, majibu yake utayapata hapa wiki ijayo katika sehemu ya mwisho ya mada hii. Utaipenda.

Tuesday, December 21, 2010

Rio a 3D animated movie

Rio a 3D animated movie coming this april 2011
Rio a 3D animated movie
Rio is an upcoming 2011 3D computer-animated film from 20th Century Fox and Blue Sky Studios. It is directed by Carlos Saldanha and written by Don Rhymer. The characters are voiced by Jesse Eisenberg, Anne Hathaway, Rodrigo Santoro, Kate del Castillo, Jamie Foxx, Tracy Morgan, George Lopez, Leslie Mann, Jemaine Clement, Neil Patrick Harris and Robin Thicke. The film is expected to release on April 8, 2011.

This is the first Blue Sky Studios' film to be made in 2.35:1 CinemaScope aspect ratio, and 20th Century Fox's second 2.35:1 animated film since The Simpsons Movie.

Rio trailer



Plot

Blu (Jesse Eisenberg) is a rare species of blue macaw resident at a bookstore in Minnesota, who believes he is the last of his kind. When he learns that another macaw was spotted in South America, and that the macaw, Jewel (Anne Hathaway), is female, he leaves Minnesota and travels to Rio de Janeiro to meet her. While there, he learns to confront his fear of flying in order to win her heart. Along the way, they get kidnapped by poachers to sell them to get a fortune. After they escape, they try to avoid the thieves with help from Rafael, a wise Toucan (George Lopez), Luiz, a chainsaw "perfesional" bulldog (Tracy Morgan), Linda, Blu's owner (Leslie Mann), a redhead bird (Will.I.Am) and a small yellow canary (Jamie Foxx), and also avoid the theives pet cockatoo, Nigel (Jemaine Clement).

Monday, December 20, 2010

Christmas in the Village

Santa at La Mesa's Christmas in the Village
Thank you to all who came and participated in this joyous event.
May you an your family and friends have a blessed Christmas and a prosperous New Year!

Sunday, December 19, 2010

way to ur home.....

Friday, December 17, 2010

Places of Spiritual Importance

Notre Dame Cathedral
During the 19th century, Notre Dame de Paris was in such a state of disrepair that city planners considered tearing it down. Novelist Victor Hugo, an admirer of the French Gothic structure, wrote “The Hunchback of Notre Dame” to help draw attention to the cathedral’s plight. Success of the book sparked renewed interest in the building and led to a fundraising campaign that financed the cathedral’s 1845 restoration.
St.Patrick's Cathedral
Designed by noted architect James Renwick Jr. in the Gothic Revival style, this New York City cathedral is built of white marble and has an altar designed by Tiffany & Co. The cathedral’s hallmark spires rise 330 feet from the ground. Construction on St. Patrick’s began in 1858; work was halted during the Civil War, resumed in 1865 and was completed in 1878. When the building was dedicated in 1879, its huge proportions dominated the midtown Manhattan of that era.
Hagia Sophia
 Famous for its massive dome, the Hagia Sophia is widely considered the best example of Byzantine architecture. It was the largest cathedral in the world for almost 1,000 years until the completion of Spain’s Seville Cathedral in 1520. Originally built as a church between 532 and 537 A.D., Hagia Sophia later became a patriarchal basilica, then a mosque, and is now a museum with rich interior details, including intricate mosaics and marble floor decorations and pillars.
Westminster Abbey
Traditionally the place of coronation and burial for the English monarchy, the Collegiate Church of St. Peter, Westminster, more commonly known as Westminster Abbey, is a mostly Gothic-style church located to the west of the Houses of Parliament. In 1998, Queen Elizabeth II unveiled statues of ten 20th-century Christian martyrs from around the world who are depicted above the abbey’s Great West Door. Among those honored is Nobel Prize-winner the Rev. Martin Luther King Jr.

Thursday, December 16, 2010

WOLPER apigwa bao mchangani


Staa ‘hot and sexy’ wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Masawe (pichani), amebambwa laivu akicheza bao kwenye mchanga na mtoto aliyejulikana kwa jina moja la Zainabu ambapo alipigwa bao 2-1. Tukio la Wolper kunaswa na kamera yetu akicheza mchezo huo unaopendwa zaidi na wazee lilijiri maeneo ya Hananasif-Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo staa huyo alikwenda kumtembelea msanii mwenzake, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ anayeishi pande hizo. Akiwa anamsubiri ‘shosti’ wake aliyekuwa akijikwatua, tayari kwa mtoko wa jioni, Wolper mwenye zaidi ya filamu 30 alizocheza, aliamua kumchomoka ndani na ‘stuli’ kisha kuungana na watoto waliokuwa nje wakijiburudisha na mchezo huo kwa lengo la kuwaonesha ujuzi wake. Hata hivyo, hadi mwisho wa mchezo, Wolper aliambulia kichapo cha bao 2-1 kutoka kwa Zainabu katika michezo mitatu ya mpambano wao. Papzrazi wetu alipomtokea Wolper ili kujua kulikoni kugaragazwa na mtoto huyo tena mchangani bila kujali bakteria na vumbi, staa huyo alikuwa na haya ya kusema: “Ki ukweli naupenda sana mchezo huu, ndiyo kitu pekee ambacho huwa nakifanya nikiwa nimepumzika nyumbani kwangu au ninapokuwa sina ratiba ya ‘location’ (sehemu ya kuigizia). “Haya ndiyo mazingira ya nchi yetu, mimi sina mapozi na kama ningejidai kutumia ‘glovusi’, ingekuwa ni kumbagua ninayecheza naye.”

Rango 3d animated movie more stuff/preview

Rango


more on rango, a movie to be released in march 2011 and main character by johnny depp





Cast of RANGO

Johnny Depp ... Rango (voice)

Timothy Olyphant ... The Spirit of the West (voice)

Bill Nighy ... Rattlesnake Jake (voice)

Abigail Breslin ... (voice)

Alfred Molina ... (voice)

Isla Fisher ... (voice)

Ray Winstone ... (voice)

Ned Beatty ... Tortoise John (voice)

Ryan Hurst ... Jedidiah

Alanna Ubach ... Fresca

Claudia Black ... Angelique (voice)

Harry Dean Stanton ... (voice)

Stephen Root ... Doc' and Merrymack

Gil Birmingham ... Wounded Bird

Beth Grant ... Bonnie

Kym Whitley ... Melonee

Lew Temple ... Mr. Furgus

Ian Abercrombie ... Ambrose (voice)

Maile Flanagan ... Boo
Nika Futterman ... (voice)

Joe Nunez ... Rock Eye

Hemky Madera ... Stump (voice)

John Cothran Jr. ... Elgin (voice)

Jordi Caballero ... Slim
James Ward Byrkit ... Waffles (voice)
Chris Parson ... Kinski

Troy Christian ... MR. Snuggles (uncredited)

Allen Walls ... Cob (uncredited)

Wednesday, December 15, 2010

Rango 3d animated movie coming soon

Rango, Rango wallpaper, poster, johnny depp

Rango is an upcoming computer-animated comedy film, directed by Gore Verbinski. It features the voices of actors Johnny Depp, Isla Fisher, Bill Nighy, and Abigail Breslin.
It is currently in production by special effects company Industrial Light & Magic, marking the first time the company undertakes making a full length animated feature in 35 years

Rango Trailer



Plot

In the film, Rango is a pet chameleon who lives in a terrarium.He has long thought himself a hero, but then finds himself removed from his contemporary American southwest surroundings and ending up in an Old West town called Dirt, which is populated by various desert critters garbed like characters out of a spaghetti western. As he's always thought himself a hero, Rango establishes himself as the lawman, strolling the streets as a sheriff-like character. Unknown to him, the "good guy" role doesn't do very well in Dirt -- with a whole cemetery filled with good guy tombstones. But that doesn't stop Rango from trying, constantly seeking to fit in with his surroundings, no matter how challenging. At a certain point in the narrative, Rango will come to question everything about himself.
Many have noted that the film's main character and setting bear a strong resemblance to those in Hunter S. Thompson and Terry Gilliam's Fear and Loathing in Las Vegas in which Depp also starred.Indeed, a CGI version of Thompson makes a brief cameo in the film's trailer.

About Rango
Genres: Action/Adventure and Animation
Release Date: March 18th, 2011 (wide)
Production Co: GK Films, Blind Wink Productions
Industrial Light & Magic
Studios: Paramount Pictures
Produced in: United States The story of a chameleon with an identity crisis.

Release Date: March 18th, 2011

Tuesday, December 14, 2010

Pirates of the Caribbean: On Stranger Tides

Pirates of the Caribbean: On Stranger Tides
Pirates of the Caribbean: On Stranger Tides

Pirates of the Caribbean: On Stranger Tides is an upcoming 2011 3D fantasy action-adventure film. It is the fourth film in the Pirates of the Caribbean series, distributed by Walt Disney Pictures and produced by Jerry Bruckheimer. The film was first announced in September 2008, and principal photography started in June 2010. Unlike the previous films, which were shot primarily on location in the Caribbean, On Stranger Tides had most of its production in Hawaii.

The plot draws inspiration from the novel On Stranger Tides by Tim Powers, which is the same novel that inspired the LucasArts game, The Secret of Monkey Island. The plot features Captain Jack Sparrow, again played by Johnny Depp, searching for the Fountain of Youth and confronting the pirate Blackbeard.

It is also first in the series to be directed by Rob Marshall and not Gore Verbinski. The film is set to be released on May 20, 2011 in Disney Digital 3-D and IMAX 3D, as well as in traditional two-dimensional and IMAX formats.

It will be the first Pirates of the Caribbean film to be released in 3D and Jerry Bruckheimer's second 3D film, following the 2009 film G-Force.


Pirates of the Caribbean: On Stranger Tides





Plot

Captain Jack Sparrow crosses paths with a woman from his past (Penélope Cruz), and he's not sure if it's love—or if she's a ruthless con artist who's using him to find the fabled Fountain of Youth. When she forces him aboard the Queen Anne's Revenge, the ship of the formidable pirate Blackbeard (Ian McShane), Jack finds himself on an unexpected adventure in which he doesn't know whom to fear more: Blackbeard or the woman from his past.


Pirates of the Caribbean: On Stranger Tides
Cast

* Johnny Depp as Captain Jack Sparrow,[5] former captain of the Black Pearl, who is now in search of the Fountain of Youth.
* Geoffrey Rush as Captain Hector Barbossa,[6] former pirate, who is now a privateer on the Court of King George II.
* Penélope Cruz as Angelica,[6] Blackbeard's daughter.
* Ian McShane as Blackbeard,[6] an old pirate captain, who wants to reclaim his youth by finding the Fountain of Youth.
* Kevin McNally as Joshamee Gibbs,[7] a large pirate and Jack Sparrow's associate and best friend.
* Richard Griffiths as King George II,[8] ruler of the British Empire.
* Stephen Graham as Scrum[9]
* Greg Ellis as Lt Theodore Groves[7]
* Damian O'Hare as Lt Gillette[10]
* Astrid Bergès-Frisbey as Syrena, a mermaid[11]
* Sam Claflin as Philip[12]
* Keith Richards as Captain Teague,[13] Jack Sparrow's father.
* Gemma Ward as Tamara[14]
* Richard Allan[15]
* Judi Dench as a noblewoman[16]
* Derek Mears

The Making/Behind the scenes


Pirates of the Caribbean: On Stranger Tides
The film is set to be released on May 20, 2011

Monday, December 13, 2010

REMMY ONGALA AFARIKI DUNIA

Dk. Remmy Ongala enzi za uhai wake.

Mwanamuziki mkongwe nchini,Dk. Remmy Ongala amefariki dunia jijini Dar es Salaam leo.

Habari za awali zilizofikia mtandao huu zinasema Dk. Remmy alikata roho akiwa nyumbani kwake usiku saa nane na robo kutokana na kusumbuliwa na maradhi ya kisukari. Mwili wa marehemu umepelekwa kuhifadhiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na mipango ya mazishi bado haijajulikana.

Sunday, December 12, 2010

Legend of the Guardians: making and tralier




Legend of the Guardians: The Owls of Ga'Hoole is a 2010 English-language computer-animated fantasy/adventure film based on the first three volumes (The Capture, The Journey, and The Rescue) of the series Guardians of Ga'Hoole by Kathryn Lasky. Zack Snyder directed the film, with an ensemble cast includes Jim Sturgess, Geoffrey Rush, Ryan Kwanten, Emily Barclay, Anthony LaPaglia, David Wenham, Helen Mirren, Joel Edgerton, Hugo Weaving and Miriam Margolyes voicing the characters. Warner Bros. distributed the film with the Australian companies Village Roadshow Pictures and Animal Logic. Production took place in Australia, and the film was released in RealD 3D and IMAX 3D on September 24, 2010,

Production

Warner Bros. acquired film rights to the book series Guardians of Ga'Hoole by Kathryn Lasky in June 2005. The studio planned to produce the series as a computer-generated animated film under producer Donald De Line with Lasky writing the adapted screenplay.[4] In April 2008, the project was under Village Roadshow with Zack Snyder attached to direct and Zareh Nalbandian producing. A new screenplay was written by John Orloff and John Collee.[5] Production began in Australia in February 2009.[6] The film was developed by the digital visual effects company Animal Logic, following its success with the 2006 film Happy Feet.[7] It features an Owl City song called "To the Sky" and a CGI 3-D Road Runner short film called Fur of Flying.


Zack Snyder Behind the Scenes interview "Legend of the Guardians"





Legend Of The Guardians: Behind The Scenes

slowly here we goooooooo Dr Dre

Saturday, December 11, 2010

Mapenzi ni tendo la furaha. Wakati wa utekelezaji huwa ni sherehe tupu kwenye sayari ya vionjo vya kimahaba

Mapenzi ni tendo la furaha. Wakati wa utekelezaji huwa ni sherehe tupu endapo wahusika watakuwa wamekubaliana kwa moyo mmoja. Yaani hisia zao ndizo zilizowashawishi kuingia kwenye ‘bwawa spesho’. Kinyume chake ni mateso na ndiyo chimbuko la tuhuma za wanandoa kubakana. Utafiti unaeleza kuwa wanaume wengi huwa hawakubali neno ‘nimechoka’ ambalo ni kawaida kutamkwa na wanawake. Ni lugha ambayo hutumiwa ili kukwepa ushawishi wa wenzi wao ambao huwataka kuingia nao kwenye sayari ya vionjo vya kimahaba. Hata hivyo, lipo jibu la kitafiti kwamba asilimia kubwa ya wanawake walio kwenye ndoa ambao walijaribu kueleza hisia zao kwa ‘mamista’ wao kuwa hawapo tayari kwa tendo, walibakwa. Wakati mwingine hili hubebwa kwa tafsiri kuwa ni jambo la kawaida. Inawezekana hili likawa halipati kujadiliwa sana kwa sababu mpaka leo kuna wanawake bado wanaamini kubakwa na waume zao ni sawa. Kinachowapa unyonge huo ni imani kwamba mwanaume ana haki zote za kimsingi za kuutawala mwili wake. Ziangalieni nyumba nje ya kuta, ndani kuna mengi! “Mwanamke akiolewa haruhusiwi kulala akiwa amevaa kabati!” Ni msemo ambao unavuma mno. Kinachotajwa hapo ni kuwa anayekubali kuolewa, moja ya masharti ni kukubali ombi la mwenzi wake wakati wowote. Ni kweli? Usiku amelala, ghafla anashtuka uzito umeongezeka kifuani, kuangalia, kumbe ni mume anatimiza haja zake! Hiyo ni sahihi? La hasha! Mapenzi hayapo hivyo! Nimesema kuwa tendo la mapenzi linahitaji uhuru wa hisia. Kulazimisha ni kumuumiza. Kukwea juu ya mwenzako bila taarifa ni unyanyasaji. Kila mtu ana wajibu wa kuheshimu mwili wa mwenzake na azitangatie ‘u-tayari’. Ni vizuri kujitambua. Mfumo wa kubakana haukubaliki! Ila ni vema pia watu wakaelewa kuwa ni kosa kubwa kubania unyumba, kwani wengi wao wamejikuta wakisalitiwa kwa sababu hiyo. Yapo mambo ambayo natakiwa nikuchambulie ili kufahamu thamani ya tendo! UTAPOTEZA MVUTO WAKO Tendo ni chachandu! Kwa wanandoa au wapenzi ambao wanaliheshimu hili na kulitekeleza kwa kiwango bora, huwafanya wenzi wao wawe na hisia za karibu kila wanapowafikiria. Hii ina maana ya kuongeza mvuto! Mtu ambaye anakuwa mvivu kutekeleza, mwisho wa siku hupoteza mvuto wake. Kwa asili kila binadamu huwa hapendi usumbufu. Alihitaji penzi la amani, ndiyo maana akawa na wewe, lakini kwa kitendo chako cha kutotaka ‘kachumbari ilike’, maana yake unampa mateso aliyoyakimbia. Anakuomba leo, unamjibu umechoka, kesho tena unaweka ngumu! Hasara kwako hapo ni kupoteza mvuto wa kimapenzi, kwa maana atakapohisi kuhitaji tendo, kila akikufikiria wewe ataona ni mtata na hueleweki, kwamba akikuomba utamtolea nje. Kwa mwanamke ni hatari zaidi, kwani kwa wanaume wasio na uvumilivu, mwisho wa siku huishia kubaka. Hata hivyo, mara nyingi hiyo haiishii hapo, tatizo hukua zaidi na zaidi kulingana na jinsi mgogoro wa kuwekeana ‘kauzibe’ unavyoshamiri ndani ya nyumba. Ukiweza kumudu kumfurahisha mwenzi wako, anachokihitaji umpe kwa wakati. Maana yake atazidi kukuona lulu. Kila akiwa na wewe atajiona yupo huru kuomba huduma wakati wowote. Na pale utakaposema umechoka, itakuwa rahisi kukuelewa na kukuvumilia, kwani siyo kawaida yako. KUSALITIWA NI NJE NJE Unambania kila siku, aendelee kukusubiri kwa kitu gani hasa? Kama ni mwanaume, maua yapo mengi ‘kitaani’, kwahiyo ataangalia kwingine kwa lengo la kutuliza mizuka yake. Ni vema ukitambua kwamba huyo siyo amoeba! Ni mtu hai anayehitaji huduma. Kisaikolojia, ni mwanaume mmoja kwa mia, anayeweza kuvumilia kukaa muda mrefu bila kufanya mapenzi. Asili ya maumbile yao, hasa walio na afya timamu, hisia zao zipo karibu, kwa maana hiyo anaweza kuhitaji hata kila siku. Kama ni mwanamke, ni busara kulitambua hili. Mwanamke anaweza kukaa muda mrefu bila kutamani tendo, lakini hatari kubwa ni kwamba uwezo wake wa kuvumilia ni mdogo mno pale anapokuwa jirani na mwanaume. Akiwa peke yake ni sawa, ila akiwekwa jirani na watu wa jinsia ya pili, mambo huenda kinyume chake. Unafika nyumbani unalala mzungu wa nne, lakini kuna wakati ukigeuka na kumgusa, unamfanya ahisi kutaka huduma. Wewe unambania, hapo utamsababishia akiamka, afikirie mahali ambapo anaweza kupata tiba! Kwa muuza bucha, genge au hata houseboy! Akiitwa barabarani atakuwa mwepesi kusikiliza kwa sababu mwili wake ni mzito na unahitaji kupunguzwa. Akiulizwa kama ana mume, atajibu hana na akisema anaye ataeleza kwamba hana noma! Akiombwa namba atatoa, mwisho wa siku, haki yako atapewa mwingine. Usifikirie maumivu ya kusalitiwa, tafakari kuhusu jinsi unavyodhalilishwa. Kama binadamu na uhusiano wa kimapenzi, heshimu ya kweli ni pale ambapo mwenzi wako anakutunzia ‘tamu’ yako kwenye mazingira yoyote yale. Akiitoa, ni sawa na kuvuliwa nguo! Pale unapopumzika na wengine hutulia hapo hapo! Hii inamaana kuwa hutakiwi kujiuguza uvivu katika suala la mapenzi. Toa huduma inayotakiwa, ikibidi ongeza vionjo kadiri unavyoweza. Kosa kubwa kwa wengi ni kwamba hawachukulii tendo kama ni jukumu la kutekeleza. Yaani ni wajibu! Wanaona ni kitu rahisi ndiyo maana kila siku wanalia.

[3D] Ferrari Car Wheel- 3d, maya with texture

Hi, Jules here, Here is a 3d model i did in maya the Ferrari car wheel, and also gave some textures for it and renderd it out and below are the images/results of renders

Ferrari wheel, 3d model, Maya

Ferrari wheel, 3d model, Maya

Ferrari wheel, 3d model, Maya

Ferrari wheel, 3d model, Maya

Ferrari wheel, 3d model, Maya

Ferrari wheel, 3d model, Maya

Ferrari wheel, 3d model, Maya

Ferrari wheel, 3d model, Maya

Ferrari wheel, 3d model, Maya

Ferrari wheel, 3d model, Maya

NEW SONG BONTA.....

Adriana Lima Models $2 Million Dollar Bra

Models $2 Million Dollar Bra. This morning when I turned on the TV I saw the Ariana Lima, the genetically-perfect Victoria Secret Angel, being interviewed while sporting a $2 million bra. Then I noticed that she happened to be in the same Victoria Secret flagship store in Soho that’s just a hop, skip, and jump from the BroBible office. I immediately got on the train and made a bee-line for the store. When I got there you could barely see the Brazilian model thanks to throngs of paparazzi. Determined to snap some photos, I wiggled my way through and I managed to get a few shots of the publicity stunt.

Unfortunately, I wasn’t on the list and they wouldn’t let me into the store to continue collecting photos. If they only knew how much BroBible loves Adriana Lima and all of Victoria Secret’s models they may have been more inclined to let us.

Namitha Kapoor is happy being single

Namitha kapoor
Movie actresses are often linked with their co-stars, which will become a kind of publicity gimmick to the films they act and to their careers as well. But Namitha is one such lady, who was never seriously linked with any star from south India.

Namitha Kapoor was seen in live- in relationship with a photographer named Steffen and then the couple headed for a split due to some reasons, best known to them. Actress Namitha Kapoor, from then on was never linked in any kind of love link up.

For this, the actress feels happy that she is not linked with any actor and also claims that she is not interested in the system of marriage.


Blog Archive