Monday, November 22, 2010

HaPpY biRtHdAy Sadallah Mbeyu


Leo ni siku ya kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa aliyekuwa Makamu Mkiti mstahafu 2008/9 wa jumuiya ya wanafunzi wa kitanzania waishio mjini Hyderabad (TSAH),Mimi M/kiti mstahafu Nkya 2009/10 na kwa niaba ya vijana wa Tolichowki na watz wote hapa hyderabad tunapenda kumtakia kila la kheri na mafaniko ktk maisha yake ya usoni Mmungu akuzidishie umri ktk maisha yako



Blog Archive