Kilimo Kwanza kinasisitiziwa sana kwa wakulima na hata kwa wafanyabiashara wa mazao mbalimbali,lakini je hawa wakulima halisia wanapewa /fikishiwa elimu thabiti juu uuzaji wa mazao yao,angalau basi wawe wanafaidika na kilimo chao badala ya kupata hasara ? Angalia pichani kama mkulima huyu anaeandaa bidhaa yake kwa ajili ya kuipeleka sokoni,je anafaidika kweli na jasho lake?
Kilimo Kwanza kinasisitiziwa sana kwa wakulima na hata kwa wafanyabiashara wa mazao mbalimbali,lakini je hawa wakulima halisia wanapewa /fikishiwa elimu thabiti juu uuzaji wa mazao yao,angalau basi wawe wanafaidika na kilimo chao badala ya kupata hasara ? Angalia pichani kama mkulima huyu anaeandaa bidhaa yake kwa ajili ya kuipeleka sokoni,je anafaidika kweli na jasho lake?