Wednesday, August 4, 2010

KWA MTINDO HUU WANAFAIDIKA KWELI HAWA WAKULIMA ?


Kilimo Kwanza kinasisitiziwa sana kwa wakulima na hata kwa wafanyabiashara wa mazao mbalimbali,lakini je hawa wakulima halisia wanapewa /fikishiwa elimu thabiti juu uuzaji wa mazao yao,angalau basi wawe wanafaidika na kilimo chao badala ya kupata hasara ? Angalia pichani kama mkulima huyu anaeandaa bidhaa yake kwa ajili ya kuipeleka sokoni,je anafaidika kweli na jasho lake?

Blog Archive